IQNA-Qari mashuhuri wa Misri, Daktari Sheikh Ahmad Nu‘aynah, amesema kuwa kazi yake ya udaktari haijawahi kumzuia kujishughulisha na usomaji wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3482081 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/23
IQNA – Sheikh Ahmed Ahmed Nuaina, qari mashuhuri wa Misri, amechapisha kwenye ukurasa wake rasmi wa Facebook video inayoonyesha mwanamke Mmarekani akisilimu katika moja ya misikiti nchini Marekani.
Habari ID: 3481769 Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/05
IQNA-Ahmed Ahmed Nuaina, anayejulikana kama Sheikh al-Qurra (Kiongozi wa Maqari) wa Misri, alionekana katika kipindi cha vipaji cha taifa kiitwacho Dawlet El Telawa.
Habari ID: 3481710 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/24
IQNA-Wizara ya Wakfu wa Kidini ya Misri imemteua rasmi Qari Dkt. Ahmed Ahmed Nuaina kuwa Sheikh al-Qurra, yaani Kiongozi Mkuu wa Wasomaji wa Qur'anI nchini humo.
Habari ID: 3481377 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/17
TEHRAN (IQNA) – Qarii marufu wa Misri Sheikh Ahmed Ahmed Noaina hivi karibuni alisoma baadhi ya aya za Surat Al-Muzzammil
za Qur'ani Tukufu kwa pumzi moja.
Habari ID: 3472992 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/23