IQNA-Wizara ya Wakfu wa Kidini ya Misri imemteua rasmi Qari Dkt. Ahmed Ahmed Nuaina kuwa Sheikh al-Qurra, yaani Kiongozi Mkuu wa Wasomaji wa Qur'anI nchini humo.
Habari ID: 3481377 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/17
TEHRAN (IQNA) – Qarii marufu wa Misri Sheikh Ahmed Ahmed Noaina hivi karibuni alisoma baadhi ya aya za Surat Al-Muzzammil
za Qur'ani Tukufu kwa pumzi moja.
Habari ID: 3472992 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/23