Sheikh Nuaina

IQNA

IQNA-Qari mashuhuri wa Misri,  Daktari Sheikh Ahmad Nu‘aynah, amesema kuwa kazi yake ya udaktari haijawahi kumzuia kujishughulisha na usomaji wa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3482081    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/23

IQNA – Sheikh Ahmed Ahmed Nuaina, qari mashuhuri wa Misri, amechapisha kwenye ukurasa wake rasmi wa Facebook video inayoonyesha mwanamke Mmarekani akisilimu katika moja ya misikiti nchini Marekani.
Habari ID: 3481769    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/05

IQNA-Ahmed Ahmed Nuaina, anayejulikana kama Sheikh al-Qurra (Kiongozi wa Maqari) wa Misri, alionekana katika kipindi cha vipaji cha taifa kiitwacho Dawlet El Telawa.
Habari ID: 3481710    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/24

IQNA-Wizara ya Wakfu wa Kidini ya Misri imemteua rasmi Qari Dkt. Ahmed Ahmed Nuaina kuwa Sheikh al-Qurra, yaani Kiongozi Mkuu wa Wasomaji wa Qur'anI nchini humo.
Habari ID: 3481377    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/10/17

TEHRAN (IQNA) – Qarii marufu wa Misri Sheikh Ahmed Ahmed Noaina hivi karibuni alisoma baadhi ya aya za Surat Al-Muzzammil za Qur'ani Tukufu kwa pumzi moja.
Habari ID: 3472992    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/23